Mwenyekiti wa Z4news ametoa nafursa kwa
vijana wanao imba muziki wa bongo flever kujiunga kwenye kundi lake la
muziki ili kuboresha zaidi wasani wachanga katika tasinia hiyo
hata hivyo mwenye kiti alisema kua
anatoa nafasi hiyo kwa vijana wawili bila ya kujali jinsia vijana
watakao fanya muziki kama maisha yao pia wanamuziki hao wawe na ubunifu
tofauti na wasani waliopo kwenye tasnia ''amesema
ninawataka vijana wawili wenye uwezo
wakuimba kila aina ya muziki na wanoa jua nini maana ya maisha mimi nina
hajiri moja kwa moja nimetoa fursa hii kwa ajili ya kuleta mabadiliko
mwaka ujao tukijaliwa uzima kwahiyo vijana naomba mjitokeze hili
kuonyesha uwezo wenu ''amesema
aliendelaea kusisitiza kua yupo tayari
muda wowote watakapo patikana wasanii hao atawapeleka studio na
kuwatabulisha kwenye tasnia ya muziki..
Kwa mawasiliano zaidi piga 0658894174

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni