mamlaka ya hewa tanzania (TMA) imetangaza kuanza kwa msimu wa mvua katika miezi ya octoba, novemba na desemba huku ikisema mvua hizo zinatarajiwa
za chini ya wastani zitaathiri kilimo cha uzalishaji mazao kutokana na uchache wake pia alisema kutokana na uchache huo pia huathiri upatikanaji wa maji
safi na salama. Dk. kijazi amesema kwa miezi hiyo mvua chache zinatarajiwa katika maeneo mengi wakati maeneo ya pembezoni mwa ziwa victoria pamoja
na yale ya kusini mwa nchi mvua zinatarajiwa kuwa kuridhisha. Alifafanua kuwa katika maeneo mengi ya nchi, mvua hizo zinatarajiwa kuchelewa kuanza
maeneo ya ukanda wa ziwa victoria na maeneo machache ya pwani ya kaskazini. Dk, kijazi alisema vipindi vingi vikavu vinatarajiwa kusababisha unyevunyevu
mdogo katika udongo na hiyo kuathiri ustawi wa mazao ya kilimo katika maeneo mengi ya nchi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni