Main Slider

Miriam Msuya na mwenzake wasomewa upya mashitaka ya mauaji



ALIYEKUWA mke wa bilionea maarufu jijini Arusha, marehemu Erasto Msuya, Miriam Msuya na mwenzake, wamesomewa upya mashitaka ya kumuua, dada wa bilionea huyo, Aneth Msuya.
Miriam na mfanyabiashara Revocatus Muyela (40), walisomewa upya mashitaka yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam, baada ya upande wa Jamhuri kuwafutia mashitaka, kisha wakawekwa chini ya ulinzi wa askari na baada ya muda walisomewa upya mashitaka yao mbele ya Hakimu Mkazi, Magreth Bankika.
Wakili wa Serikali Diana Lukondo amedai, Mei 25 mwaka huu katika eneo la Kibada, Kigamboni, Dar es salaam, washitakiwa walimuua Aneth.
Soma Habarileo Septemba 7 kwa habari zaidi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni